Baada ya Diamond kutajwa kuwania tuzo za BET mastar kibao wampngeza angalia hapa walichoandika mastar kibao
StreetExtended
00:31
0
Hii ni Tanzania ambayo kwa sasa Diamond Platnumz ameamua kutuonyesha
kwenye ramani ya Dunia,imekua ni good news kwa Tanzania na afrika
mashariki kwa ujumla,baadhi ya mastar wa Tanzania wamekubali kutoa ya
moyoni baada ya taarifa hiyo miongoni mwao ni pamoja na Mkubwa Fela,Wema
Sepetu,Ay,Belle 9,Vanesa Mdee na wengine kibao.
No comments